Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Jux usiku wa kuamkia Juni 16, 2014
alizindua video yake mpya iitwayo 'NITASUBIRI' ndani ya Klabu Billicanas
jijini Dar es Salaam.Tazama hapa ilivyokuwa.
Tuesday, June 17, 2014
Kiba Square - Pita Mbele (Audio)
Alikiba na Abdukiba (Kiba Square)
wameachia ngoma yao mpya inayoitwa 'Pita Mbele' imetengenezwa na Abydad kutoka Chaiderz Records.Isiklize na Download hapa
Ngoma mpya ya Langa aliyomshirikisha Julio & TID iko hapa
Ni mwaka mmoja tangu kifo cha rapper Langa, imefahamika kuwa siku 5 kabla ya kufariki kwake aliweza kumalizia ngoma yake ya mwisho iliyokuwa inahusiana na maisha
yake. Na ndio siku waliokutana na Julio Batalia aliyekuwa mshiriki wa BBA 2012
na kufikia hatua ya kumaliza kipande chao na kumsubiria TID ambaye mwaka 2013
siku hiyo alikuwa Uingereza na ilikuwa ombi lake la mwisho kwamba kwenye ngoma
yake hiyo alikuwa anataka kumsikia mnyama TID angefanya nini kwenye chorus.
Pata ngoma hii ambayo kila ukiisikiliza utagundua kuwa Langa alikuwa anaongea
na mashabiki wake.
Download na sikiliza hapahttp://www.hulkshare.com/bestizzo/langa-julio-tid
Monday, June 16, 2014
Navy Kenzo - Aiyola (Audio)
Baada ya kufanya poa na ngoma ya 'Chelewa',Navy Kenzo wamerudi tena na ngoma nyingine mpya inayoitwa 'Aiyola'. Isikilize na Download hapa
Rich Mavoko - Roho Yangu (Refix) (Audio)
Baada ya kuachia ngoma tano Number One
remix ya Diamond Platnumz
akimshirikisha Davido,Asante ya AY akimshirikisha Dela,Me and You ya
Ommy Dimpoz akimshirikisha Vanessa Mdee,Sugua Gaga ya Shaa na 'Come Over' ya Vanessa Mdee Lamar amekuja na Refix nyingine
safari hii amedondosha Refix ya wimbo
wa Rich Mavoko 'Roho Yangu'.Usikilize na
Download hapa









