Thursday, July 3, 2014

Ney Lee - Ni Kweli (Official Video)

Tazama video mpya kutoka kwa Ney Lee inaitwa Ni kweli,Audio imetengezwa na Zest Mkali na muongozaji wa video ni Tenya Brown kutoka Alama XP.
Share:

Wednesday, July 2, 2014

Madee - Ni Sheedah (Audio)

Baada ya kufanya poa na ngoma ya Pombe Yangu na Tema mate tuwachape,Madee amerudi tena na ngoma mpya inayoitwa Ni Sheedah,Mtayarishaji ni Marco Chali.Isikilize na Download hapa
Share:

Barakah Da Prince - Sio Fine (Audio)

Msanii wa Tetemesha Entertainment, Barakah Da Prince leo (July 2) ameachia wimbo wake unaoitwa ‘SIO FINE’.
Wimbo huu anautoa kama ‘zawadi’ kwa mashabiki wake kwa kumpokea vizuri na single yake iliyopita ‘Jichunge’, wakati akijiandaa na single yake ‘official’ itakayotoka October.
 Wimbo huu uliwahi kusikia kwenye vituo vya Mwanza na kanda ya ziwa ila katika version tofauti na hii, lakini haukutoka official, hivyo tumeamua kuurekodi upya na kwa kiwango bora zaidi ili uweze kuwafikia mashabiki wote wapya na wa zamani.
 Song Credits:
Producers: Kidboy, Nusder & Lollipop
Song writer: Barakah Da Prince
Studio: Tetemesha (2014)
Share:

Triple MG ft. Iyanya, Emma Nyra, Tekno, Selebobo & Baci - Say Yeah (Official Video)

Triple MG release the video for ‘Say yeah‘, the first single off ‘The Evolution’ album featuring Iyanya, Emma Nyra, Tekno, Selebobo and Baci. It was Directed by Mattmax, watch below…...

Read More at thenet.ng/2014/07/video-triple-mg-say-yeah-feat-iyanya-emma-nyra-tekno-baci-selebobo/ Follow us: @theNETng on Twitter | theNETng on Facebook
Triple MG release the video for ‘Say yeah‘, the first single off ‘The Evolution’ album featuring Iyanya, Emma Nyra, Tekno, Selebobo and Baci. It was Directed by Mattmax, watch below…...

Read More at thenet.ng/2014/07/video-triple-mg-say-yeah-feat-iyanya-emma-nyra-tekno-baci-selebobo/ Follow us: @theNETng on Twitter | theNETng on Facebook
Triple MG release the video for 'Say Yeah' the first single off  'The Evolution' album featuring Iyanya, Emma Nyra, Tekno, Selebobo and Baci,Directed by Mattmax.Watch below
Share:

Tuesday, July 1, 2014

Mkasi | SO9E02 with Fareed Kubanda (Fid Q) (Video)

Fareed Kubanda, Wa Kipekee, One of a Kind au kama anavyofahamika kwa wengi Fid-Q, Msanii Mkongwe wa Hip Hop Tanzania mwenye mafanikio makubwa ana machache ya kusema. Msanii alieipandisha Mwanza katika ramani ya kimuziki Tanzania, na mshahiri mahiri mwenye tenzi zenye uzito katika lugha adhimu ya Kiswahili.
Miaka saba bila kushinda tuzo yoyote pamoja na kuteuliwa, na almanusra akate tama, anatukumbusha kuwa mvumilivu hula mbivu.
Fareed anatukumbusha machache kuhusu changamoto ya kujenga familia akitolea mfano mahusiano ya wazazi wake. Fid Q pia anatueleza ni jinsi gani malezi yake yamempa funzo katika jinsi anavyotarajia kumlea mwanawe.
Fid Q ana mengi ya kutushirikisha kuhusu alichofanya kukuza sanaa na vipaji, jinsi gani tutawatambua wale waliopiga hatua na kuitambulisha nchi kisanii. Ni mmoja wa wasanii waliokomaa, na hekima zikitiririka kinywani kwake....msikilize mwenyewe, upate machache!
L . O . V . E
Share:

New Music : Chris Brown feat. Usher & Rick Ross - New Flame

Fresh off his performance at the 2014 BET Awards, Chris Brown premieres his brand new single ‘New Flame’ featuring Usher and Rick Ross. Listen to the track below.
Share:

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support