Friday, October 12, 2012

IJUE MISUNGWI

 Misungwi ni Wilaya inayopatikana katika Mkoa wa Mwanza.
Wakazi wake (wenyeji) ni wasukuma,vivutio  vingi vinapatikana katika wilaya hii kama ngoma za asili n.k.
Wakazi wake ni wakarimu na wanaoweza kuishi na makabila mengine bila ubaguzi.
Karibu Misungwi kwa ukuzaji na uboreshaji wa maisha yako.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support