Friday, October 31, 2014

New Music : Young Killer Msodoki Feat. Fid Q & Belle 9 - 13

Wimbo mpya kabisa kutoka Young Killer Msodoki akishirikiana na mkongwe wa hip hop Fid Q pamoja na Belle 9. Wimbo huu umewashirikisha producer wanne yaani P Funk Majani kutoka Bongo Records, Palla Midundo, Amiga Tyga na Lol Pop. Wimbo unaitwa 13.
Share:

Coming Soon : JCB - Mtoto Mkali

Kaa tayari kwa ngoma mpya kutoka kwa JCB inaitwa Mtoto Mkali imetayarishwa na Daz Naledge kutoka Watengwa Records.
Share:

Thursday, October 30, 2014

Ngoma mpya ya Young Killer "13" kutoka 31.10.2014

Rapper kutoka Rock City,Young Killer Msodoki kesho (31.10.14) anatarajia kuachia ngoma yake mpya aliyoipa jina la Kumi na tatu (13).Ndani ya ngoma hiyo amemshirikisha Rapper Fid Q kutoka Mwanza pia na mkali wa RnB, Belle 9 kutoka Morogoro.ngoma imetayarishwa na Palla Midundo,Amiga Tyga,Lolpop na P Funky Majani.
Share:

New Music : Angel Benard - Shujaa

"Wimbo mmoja kila wiki kwa wiki 10!"

Huu ni wimbo wa pili kutoka album mpya NEW DAY kutoka kwa Angel Benard - wimbo unaitwa SHUJAA. 

SHUJAA.
Kuna wakati katika maisha tunakutana na mambo magumu na hakuna wa kukutia moyo, kwa sababu wengi waliotuzunguka ni watu ambao mara nyingi hufurahi tunapoumia. Huu ni wimbo ambao mtu unajikumbusha mwenyewe juu ya uhalisia wa maisha na kasha unajikumbusha kwamba “you are the hero of your own soul”. Mungu ametuamini na mitiani ya maisha, hivyo na sisi tunakubali kupambana na kila hali hadi kufikia ndoto zetu hata kama huko njiani kuna vikwazo.



DOWNLOAD WIMBO HAPA
Share:

New Video : Kid Ink Feat. Usher & Tinashe - Body Language (Explicit)

Tazama video mpya kutoka kwa Kid Ink akiwa na Usher na Tinashe inaitwa Body Language 
Share:

New Video : 2Face Idibia - Nfana Ibaga Remix

A brand new video from the legend 2Face Idibia of his Face 2 Face album titled 'NFANA IBAGA Remix'.
Share:

New Video : Nonini Feat. Wyre - Mbele

When two Legends from the Kenyan Music Industry meet up,all you can expect is pure magic from Nonini along side Wyre backed up with BYK (Beat Ya Keggah)-MBELE

Guess who does the intro for Nonini? Yes his Son little Jay Jay....

Audio Producer: Beat Ya Keggah
Director: A Willie Owusu Film
Video Production: ProHabo Entertainment
Share:

New Music : Sugu & Professor Jay - Makamanda

Mdau wa Mziki wa Kizazi kipya ndani ya Bongo na Kwengineko. Pokea kazi mpya toka kwa wakongwe hawa wawili katika kuihamasisha jamii ya ki TANZANIA kuhusu hali ya sasa na Uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015. Wimbo umefanywa Mwanalizombe Records chini ya Producer Villy. Enjoy
Share:

New Music : Heri Muziki - Nchi Yetu Muziki wetu

Download na Sikiliza ngoma mpya kutoka kwa Heri Muziki  inaitwa Nchi Yetu Muziki wetu
Share:

New Music : Baby J - Katapilla

Download na Sikiliza ngoma mpya kutoka kwa Baby J inaitwa Katapilla
Share:

New Music : Berry Black - Si Bure

Download na Sikiliza ngoma mpya kutoka kwa Berry Black inaitwa Si Bure
Share:

New Music : Ney Lee – Hasara Roho

Download na Sikiliza ngoma mpya kutoka kwa Ney Lee inaitwa Hasara Roho
Share:

Wednesday, October 29, 2014

Brand New - Wakazi (3 Songs)

Share:

Monday, October 27, 2014

New Music : Hisia - Gimme A Call

Mshiriki wa Tusker Project Fame HISIA anakuja na kibao chake kipya GIMME A CALL ambacho amemshirikisha producer John Blass kutoka Grand Master Records. Hisia mwenye kipaji cha vocals ameonesha uwezo wake mkubwa katika hii track iliyopo katika miondoko ya Afro Soul. Wimbo ulitambulishwa rasmi katika concert iliyoandaliwa viwanja vya Alliance Francaise akisindikizwa na Grace Matata pamoja na kundi la H_art the Band kutoka nchini Kenya.

HISIA - GIMME A CALL

Vocals: Hisia
Drums: Nelson Martin Mugarula
Bass guitar: Kelvin Samuel
Guitars: Goodlucks Sway, Mzee Francis, Hisia
Keys: John Blass
Written by: Hisia
Music consultant: BR Marungi
Instruments recorded at Fnouk Music Studios
Co-arranged by Kelvin Samuel
Produced by: John Blass - Grand Master Records

https://mkito.com/song/gimme-a-call/3054
Share:

New Music : M Rap Feat. Ben Pol - Nikubembeleze

Download na Sikiliza ngoma mpya kutoka kwa M Rap akimshirikisha Ben Pol inaitwa Nikubembeleze,audio imetayarishwa na Bob Manecky
Share:

New Video : Rick Ross Feat. R. Kelly- Keep Doin' That (Rich Bitch) (Explicit)

Tazama video mpya kutoka kwa Rick Ross akimshirikisha R. Kelly inaitwa Keep Doin' That (Rich Bitch)  
Share:

New Video : Hammer Q - Jero

Tazama video mpya kutoka kwa Hammer Q inaitwa Jero
Share:

New Video : Julio Feat. Chege - Special For You

Tazama video mpya kutoka kwa Julio akimshirikisha Chege Audio imetayarishwa na TUDD THOMAS PRODUCTION (T T P) na Video imeongozwa na Adam Juma ( Next Level).
Share:

New Video : Redsan Feat. Nyla - Touch Me There

Redsan ameachia video ya wimbo wake "Touch Me There" aliomshirikisha Nyla (Brick & Lace).video imeongozwa na Enos Olik.
Share:

Saturday, October 25, 2014

New Music : Mo Music - Simama

Baada ya kufanya poa sana na ngoma ya Basi Nenda, Mo Music amedondosha ngoma nyingine mpya iitwayo "Simama" imetayarishwa Mazuu Records.Isikilize na Download hapa
Share:

New Video : 2face Idibia Feat. Fally Ipupa - Diaspora Woman

Brand new video from 2Face Idibia titled 'DIASPORA WOMAN' featuring FALLY IPUPA off his 'THE ASCENSION' Album.Directed by Moe Musa
Share:

New Video : Sauti Sol Feat. Iyanya - Sura Yako Remix

Sauti Sol (Best African Act 2014 MTV Europe Awards) release the anticipated official Sura Yako remix featuring Nigerian top artist Iyanya. The collaboration comes in the wake of the successful Sura Yako and its spinoff Lipala Dance, currently still a growing global movement. The video is shot by Enos Olik & Bokeh Family, the same team behind the hot Nishike video that has now earned Sauti Sol a nomination for Most Gifted Video from East Africa at the upcoming 2014 Channel O Music Video Awards.
Sura Yako (Your Face) is the fourth single off Sauti Sol’s upcoming album: Live and Die in Afrika.
Share:

Thursday, October 23, 2014

New Music : Gosby - Drunk In Love Remix

Gosby lets off another tune from his upcoming mixtape, MISSTAPE . DRUNK IN LOVE REMIX”, mixed and mastered by CJAMOKER. Check it out below Gosby’s hulkshare profile.Link: hulkshare.com/j122hv72mmm8 
twitter @thisisgosby
facebook thisisgosby
instagram @thisisgosby
Share:

New Music : Angel Benard - Need You To Reign

Episode 01: NEED YOU TO REIGN by ANGEL BENARD

Wimbo wa kwanza katika album ya NEW DAY kutoka kwa ANGEL BENARD "Need you to reign" ni wimbo unaomuomba Mungu awepo katika maisha yake na amuongoze katika kila jambo. Wimbo huu umerekodiwa Mujwahuki Studios chini ya Producer Mujwahuki mwenyewe. Producer huyu pia alishawahi kufanya kazi na msanii Ben Pol katika wimbo wake wa Nikikupata. Nyimbo zote katika album hii zimetungwa na kuimbwa na Angel Benard.

"Angela Benard speaks through her music, she speaks Hope, Love, Truth and the Inseparable connection between God and Man."


Share:

Wednesday, October 22, 2014

New Music : Mo Music - Almasi

Mo Music amedondosha ngoma yake nyingine mpya inayoitwa 'Almasi' ikiwa ni mkono wa Producer Lollipop.Isikilize na Download hapa
Share:

New Video : Shilole - Namchukua

Shilole ameachia video ya wimbo wake mpya "Namchukua" Mtayarishaji wa audio ni Nahreel na muongozaji wa video ni Kevin Bosco Junior.Itazame hapa
Share:

New Video : Shaa Feat. Redsan - Njoo

 Shaa ameachia video yake mpya iitwayo "Njoo" akimshirikisha Msanii kutoka  Kenya Redsan, mdundo umepigwa na Marco Chali na muongozaji wa video ni Enos Olik.Itazame hapa

Share:

New Music : Mwana FA Feat. Alikiba - Kiboko Yangu

Sote tumeusubiri kwa hamu na sasa wimbo mpya kabisa wa Mwana FA na Alikiba umewasili rasmi. Baada ya Mwana FA kutoa wimbo wa Mfalme live katika tuzo za KTMA 2014 msanii huyu ameungana na mfalme wa bongo flava yaani Alikiba ili kuwaletea mashabiki wake kazi nyingine kali. Producer wa wimbo huu si mwingine bali ni Marco Chali wa kutoka MJ Records ya jijini Dar Es Salaam. Katika kuurekodi wimbo huu kumekuwa na matoleo manne tofauti ambayo wadau walikuwa wakisindwa kuamua ni upi wa kuachia kwa kuwa zote zimesimamia kucha. Mwana FA na kampuni ya LifeLine ambaye yeye pia ni mkurugenzi wameamua kuuachia wimbo huu moja kwa moja kupitia Mkito.com ili kuhakikisha unawafikia wapenzi wake wengi zaidi na kuhakikisha kuwa kuna maslahi yanapatikana katika kazi hii. Pakua wimbo huu mpya kabisa sasa upate flava kali.https://mkito.com/song/kiboko-yangu-ft-ali-kiba/3036
Share:

New Music : Dennis Drazzy - Cheza

CHEZA is a song performed and written by a young Upcoming artist from Tanzania, Dennis Drazzy (22) who does Rap with a twist. The song which is recorded and mastered at Hebron Studios and mixes elements of House music, pop and rap all in one resulting to a Rap House genre and is from the Black & White mixtape coming in 2015.https://mkito.com/song/cheza/3021


Share:

Monday, October 20, 2014

New Video : Hemedy PHD & Gelly Wa Rhymes - The One

Official Video ya wasanii HEMEDY PHD na GELLY WA RYHMES. Nyimbo inaitwa THE ONE,audio imetengenezwa na SEI wa SEI RECORDS. Video imefanywa na KWETU STUDIOS, Muongozaji ni Msafiri Shabani.
Share:

New Music : Mad Ice - Everything I Do

Mad Ice ni msanii aliyezaliwa nchini Uganda na kuishi Tanzania kwa muda mrefu ambapo aliaanza rasmi kazi yake ya muziki na kutoa albam yake ya utambulisho iitwayo BABY GAL (2003, Chini ya Miikka Mwamba). Msanii huyu wa Afro-Soul baada ya album hiyo alihamia nchini Finland ambapo aliendeleza kazi pamoja na producer Miikka Mwamba na studio nyingine nchini humo na kutoa nyimbo nyingi zilizoshika chati tofauti duniani kote zikiwemo Maneno, Mapenzi Sumu na Te Amo.

Hii ni Single mpya kabisa ya Mad Ice inaitwa EVERYTHING I DO na imefanyika Sonic Pump Studios, Finland chini ya producer DJ Hermanni.
Share:

Saturday, October 18, 2014

Coming Soon : Mad Ice - Everything I Do

Mwanamuziki Mad Ice amerudi Tanzania kutoka nchini Finland ambapo ametoka kurekodi single yake mpya EVERYTHING I DO chini ya producer DJ Hermanni kwenye studio ya kimataifa ya Sonic Pump Studios (http://www.sonicpumpstudios.com/). Mara nyingine huwa inatosha kuangalia mandhari ya studio kujua kuwa kazi zinazotoka huko lazima ziwe na kiwango cha kimataifa. Tazama picha hizi za studio halafu tusubiri kusikia mapishi yake Jumatatu tarehe 20 Oktoka.




Share:

Ujio wa Angel Benard

ANGEL BENARD ni jina ambalo limekuwa likisikika kwa miaka kadhaa sasa kwenye ulimwengu wa muziki wa gospel. Angel Benard mwenye miaka 25 hatimaye sasa anaachia album yake NEW DAY kwenye mfumo wa digitali kupitia Mkito.com. Watu wengi wamekuwa wakisubiri kusikia nyimbo zake za zamani lakini haikuwa rahisi kuzipata. Album hii ni album ya 3 ya mwana dada huyu mwenye sauti ya maajabu. Ni wasanii wachache sana wa muziki wa gospel ambao wamefanikiwa kuvusha nyimbo zao zikapendwa na wapenzi wa gospel pamoja na wapenzi wa muziki wa bongo flava, RnB n.k. na mwimbaji huyu ni mmoja wapo.

Katika kuitambulisha album hii Angel Benard ataachia wimbo mmoja kila siku ya Alhamis kwa wiki 10 mfululizo. Wimbo wa kwanza utatoka tarehe 23 October na unaitwa NEED YOU TO REIGN ukiwa katika minodoko ya Reggae.
Share:

New Video : The'Kisser Strawberry - Umependeza

Msanii anayechipukia The'kisser Strawberry (Instagram@thekisser_strawberry) mwenye asiri ya mwanza hatimaye amefanikiwa kuachia rasmi video ya wimbo wake wa 2 uitwao UMEPENDEZA. 
Msanii huyo aliachia rasmi video hiyo kupitia runinga ya EATV/Ch5 katika kipindi cha 5Seleck na kisha kuwaaidi mashabiki wampokee vizuri akiwa kama msanii mpya pia wasubilie mengi kutoka kwake....
                 Video hii imefanywa katika kampuni iitwayo CreativeMinds Tz chini yake Director Eddie.
Share:

New Video : Angel Benard - Need You To Reign

Angel Benard ameachia video ya wimbo wake mpya 'Need you to reign' ambao unapatikana katika album ya 'New Day' audio yake itatoka Rasmi tarehe 23 October.Itazame hapa
Share:

Friday, October 17, 2014

New Music : Mkubwa na Wanawe - Inooh

Wimbo mpya kutoka kwa Mkubwa na Wanawe ambao ni kati ya nyimbo zilizopo kwenye collection ya NISEME. Wimbo huu inaitwa INOOH. Mkubwa na Wanawe ni wansanii ambao kwa muda mfupi sana wameweza kuonekana katika majukwaa makubwa na kuwa na mafanikio makubwa sana kimuziki wakiwa chini ya usimamizi wa Mkubwa mwenyewe Saidi Fela. Fela ni meneja ambaye amesimamia na kuwatoa wasanii na makundi kama Juma Nature na Wanaume. Pata wimbo mpya kabisa kutoka kwa Mkubwa na Wanawe kupitia Mkito.com sasa.

https://mkito.com/song/inooh/3014
Share:

New Music : Hisia - Mawazo (With Lyrics)

Msanii Hisia ambaye aliiwakilisha vyema sana nchi yetu katika mashindano ya Tusker Project Fame mwaka jana anakaribia kuachia wimbo wake mpya uitwao GIVE ME A CALL hapo tarehe 25 Octoba katika show ya live. Katika kuusubiri wimbo huo tujikumbushe track yake ambayo imeshika chati nchini Kenya kwa wiki 6 mfululizo iitwayo MAWAZO. Wimbo huu pia unapatikana kama acapella, yaani vocal tu, ili wapenzi wake tusikie ni kwanini Hisia aliweza kufanya vizuri vile kwenye mashindano ya Tusker Project Fame.

Kwa wale wote watakao taka kufika kwenye show yake itafanyika tarehe 25/10/2014 Alliance Francaise kuanzia saa moja jioni.

Share:

New Video : Timbulo - Nakumiss Miss

Timbulo ameachia video ya wimbo wake mpya "Nakumiss Miss" Itazame hapa
Share:

New Video : Yemi Alade - Kissing

 
Yemi Alade ameachia video ya wimbo wake mpya unaojulikana kama "Kissing" Itazame hapa
Share:

New Music : Criss Wamarya - Cheusi Mangala

Download na Sikiliza wimbo mpya kutoka kwa Criss Wamarya akikwambia Cheusi Mangala  .Mtayarishaji ni Mazuu
Share:

Blog Archive

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support