Sunday, February 17, 2013

BIASHARA FC YAICHAPA NANGE FC

           Jana katika uwanja wa mwana Kanenge ilifanyika mechi kati ya Biashara FC na Nange FC,Ambapo Biashara FC iliibuka kinara katika mechi hiyo kwa kuichapa Nange FC bao 4-2.
Mabao ya Biashara FC yalifungwa na Shija Lung'wecha dakika ya 27 na 47 pamoja na Abel Joseph dakika ya 30 na 42.
       Mabao ya Nange FC yalifungwa na Kiliani dakika ya 10 pamoja Festo Kachungwa.
                                               Taarifa na Crevason Manyanda
Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support