Wednesday, January 15, 2014

MAISHA PLUS IMERUDI JAZA FOMU SASA

Zimebaki siku 9 tu za kujaza fomu ya ushiriki.
1. Kijana wa Tanzania, Burundi, Rwanda, Kenya, Uganda mwenye umri wa kati ya miaka 21 – 26, jaza fomu ya kushiriki shindano la Maisha Plus moja kwa moja mtandaoni kwa kubofya hapa
–> http://maishaplus.tv/MaishaPlusFomu2014.html 2. Kama wewe ni mkulima mwanamke mwenye umri wa miaka 18 mkazi wa Tanzania ama unamfahamu yeyote, jaza fomu moja kwa moja kwa kubofya hapa –>
http://maishaplus.tv/MamaShujaaFomu2014.html
Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support