Monday, February 24, 2014

SNURA - USHAHARIBU (LYRICS)

Verse ya 1
Unatafuta kick na upo kwenye muziki, Ndio kwanza unahit umetukana mashabiki
Ulikimbia wazazi ukayafanye mabaya, Tena ulimwaga radhi na umepata miwaya
Ulitukana wakunga na wakati una mimba,  Ulijiona mjanja kumbe wewe ndio mjinga
Umeombewa kulala umekojoa kitandani, Umetutia haibu kwenye chumba cha jirani
Uliuza nyumba kwa ugumu wa maisha , Una pakulala shida umezizidisha,
Kuto kujiamini umetapatapa, Umeliacha dume umelamba galasa.x 2
Chorus
Ndo basi tena ushaharibu,uuuhu
Kujifanya mjuaji ushahaaribuuuuhu
Umejitia ufundi ushaharibuuuuhu
Jipange upya ushaharibuuuuuuhu x 2
Verse ya 2
Unataka heshima kutoka kwa wako wana , Mbele ya watoto wako matusi unatukana,
Baba yupo ICU mmeukata umeme, Tena mmeshaharibu wacheni mimi niseme.
Nilipokuwa chini ulikuwa unitaki,leo hii niko juu unataka urafiki.
Umechomwa sindano na umemeza vidonge, Ulivyo na dharau eti umekunywa pombe.
Uliuza nyumba kwa ugumu wa maisha , Una pakulala shida umezizidisha,
Kuto kujiamini umetapatapa, Umeliacha dume umelamba galasa.x 2
chorus
Ndo basi tena ushaharibu,uuuhu
Kujifanya mjuaji ushahaaribuuuu
Umejitia ufundi ushaharibuuuu
Jipange upya ushaharibuuuuh  x 2
Bridge
Ebu jaribu sasa kufikiria jambo usiharibu, Umeharibu sasa limekushuka sura ina haibu.
Ebu chunga uchunge uchungweee usiharibu tena.
Hk chunga uchungwe usiharibu tena,
We Snura chunga Uchungweeee.
Baby talha chungwa uchungweeeee,
Na mapacha chungwa uchungweeee msiharibu tenaa.
Ebu chungwa chunga uchungweee UsiharibuTenaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support