Sunday, July 27, 2014

Dmmoze One Feat. First Godfrey (EBSS) - Najiuliza (Audio)

"Kwajina naitwa Dmmoze One(1) Nimsanii wa Muziki wa Kizazi kipya Tanzania Huu ni wimbo wangu wa kwanza kuingia studio na kurekodi kama official track,Ambayo inatambulika kwa jina la  NAJIULIZA  iliofanyika katika studio ya spirty iliopo Dar es Salaam chini ya producer C91,Nilioamua kumshirikisha msanii ajulikanae kama first godfrey (EBSS) mwenye nyimbo yake ya suprise chini ya producer C91"
Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support