Tuesday, October 8, 2013

ALICHOKIANDIKA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA NGOMA YAKE YA 'KAMA NIKIFA KESHO' KUVUJA

Kuvujisha Nyimbo yangu hakuwezi kunipunguzia
 
wala Kunidhuru chochote... Sanasana utanizidishia 
Umaarufu na kunipa Show zaidi... Kama nimeacha kurecord nyimbo
 Studio kwako Uspanick, Relax.. tafta Msanii mwingine 
 Mkali zaidi yangu umrecordie Ngoma Ahit kushinda mimi...
.ila Kuvujisha Unajisumbua bure!


Hisia zangu za pelekea kuandika haya nikiwa na uzuni 
ndani yake kwa kuwa muda nilioutmia na akili nliotumia
 dhairi ni Mungu Pekee anajua ndio Maana aina budi 
namwachia Mungu pia....Imani iliyo ndani yangu nikiamini 
kuwa kutoa ya Moyoni uufanya Moyo kujengeka
 Upya,Mwenyezi Mungu Atanijenga Upya na kuwaandalia kitu kipya hiv
 karibun.Hii ni changamoto kwangu na Kuweza 
kujua sheria na katiba za Muziki wangu na
 kusimamia Haki zangu...... Nawapenda Sana Mashabiki Zangu..... #WCB #CocaBoy for Life



Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support