Friday, June 27, 2014

Ben Pol - Upendo (Audio)

Mwimbaji wa RnB Tanzania, Ben Pol ameachia wimbo wake mpya unaoitwa 'Upendo' Wimbo huu umeandikwa na mwalimu wa St. Augustine University of Tanzania (SAUT), anaefahamika kwa jina la Wynjones Kinye ambaye anafundisha masomo ya Mawasiliano ya Umma.Mtayarishaji ni Man Water.Usikilize na Download hapa
Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support