Thursday, April 25, 2013

HUU NDIO MUONEKANO MPYA WA T-PAIN BAADA YA KUNYOA RASTA

Msanii wa R&B na Hip-Hop T-Pain ameamua kutoka na mwonekano
mpya kabisa ambapo amenyoa rasta ndefu alizokuwa nazo ambazo zilikuwa moja ya alama za utambulisho wake .
T-Pain hajatoa sababu za kuamua kunyoa rasta na alionekana kwa mara ya kwanza akiwa bila rasta hizo kwenye uzinduzi wa asasi ya misaada inayoongozwa na mama mzazi wa msanii huyo.





Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support